F TANGAZO KWA WAKAZI WA KIGAMBONI NA POST | Muungwana BLOG
https://c2p.cleverwebserver.com/dashboard/6a0bec4b-79ba-11ef-ad2b-06f0639468d1

TANGAZO KWA WAKAZI WA KIGAMBONI NA POST

Biriani Kuku.

Wadau wa kigamboni na Mitaa ya karibu kama Posta kwa sasa Misosi Kigamboni tunachukua Order ya vyakula mbali mbali ,kama Biriani ,Pilau ,Wali na Mboga mboga mbali mbali na Mchuzi kama wa Kuku, Nyama, Samaki, na pia tunachukua Order za Vitafunio vya aina nyingi , vyakula vya RAMADHAN na EID  na hata Shughuli yoyote Pia tunachukua Order karibuni sana....

Kwa Order piga Simu au tuma ujumbe kwenye Number hii, 0652707072 Usihofu kuhusu bei, Bei zetu ni poa na huduma zetu ni poa tuna DELIVERY ULOPO..

Biriani Nyama ya Ng'ombe

Makaroni Pronzi

Pilau kuku

Mishkaki

 Kuku wa kuchoma

Nyma ya kuchoma


Urojo ( Mix )

 Mkate wa ufuta

 Vitumbua 

 Chapati lainiiii.

Vitumbua vya Kisra.