Tuseme ukweli tu kuhusiana na mwenendo wa Huyu Mange Kimambi kuwa sio mzuri hata kidogo yani kila siku kazi yake ni kutukana watu tu, sasa ivi serikali yetu imemshindwa au ???? Maana hatuoni akichukuliwa hatua zozote juu ya matusi yake..
Na kwa nini mpaka leo serikali imekaa kimya juu yake ??? Mange Kimambi kashatukana mpaka viongozi wa kubwa katika nchi hii ila bado selikali ipo kimya tu..
Ni aibu kwa serikali kuendelea kumfumbia macho huyu mtu....
Ona baadhi ya Post zake...
hii ni posti ya Mange Kimambi akimdhalilisha Faiza Ally..
Hii ni post ya kumdhalilisha Rais wetu ila serikali ipo kimya tu..
mangekimambi_Mnakumbuka Mama Magufuli alipolazwa ghafla Muhimbili hapo juzi kati?????
Ni kwamba alishushiwa kipigo cha mwizi toka kwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mpaka akapoteza fahamu sababu mtoto hakwenda shule..😠😠Na ndio maana haikuelezwa huyu mama anaumwa nini alipolazwa Muhimbili.
Sidhani kama kuna mwanamke alieteswa na mwanaume ndani ya ndoa kama Mama Janeth....Yani huyu mama akifa inabidi Mungu amsamehe dhambi zake zooote aende peponi akapumzike maana kama ni jehanam ameshaishi hapa duniani..Yani nna story moja nzitoooo haibebekiiii kuhusu kifo cha binti wa Magufuli aliefariki miaka ya nyuma Magufuli akasema alipata alllergy ya dawa za Malaria.That was not true either... Story inatishaaaaaaaaaaaa.Yani ukisikia the real story ya kifo cha binti wa Magufuli utatamani kurewind uchaguzi ufute kura uliompigia Magufuli. Huyo binti alikuwa na miaka 12 tu. Yani nimelia machoziiiiiii. Na baada ya pale ndo mama Magufuli alipoamua kuondoka.. Alifanya kuombwa sanaaa kurudi sababu ya uchaguzi.. Haki vile Magufuli should be jail and not in the state house.
Hizi sio habari za kuokota mtaani.Hata Magufuli mwenyewe naamini leo atanipa saluti kwa hii habari ya kumpiga mkewe mpaka akazimia ikabidi akimbizwe Muhimbili..Maana hakuna anaejua zaidi ya close close family members na walinzi wake and the only reason wameniletea hii habari wanasema labda ikijulikana nje tutamuokoa huyo mama na vipigo vingine.
I know naweza kuwa sued kwa habari hii but if it means saving mama Magufuli na kipigo kingine au kuokoa maisha ya binti yake mwingine so be it.Ila acha ijulikane ili Magufuli angalau aingiwe na woga... Aliyopitia huyu mama hakuna binadamu anaweza vumilia.Mpaka kazika mtoto sababu ya ndoa.. ðŸ˜ðŸ˜
Na hawa madkatari wa Muhimbili hawa? Kisheria walitakiwa kurepoti polisi kipigo cha Mama Magufuli, Kama jinsi walivyotakiwa kuripoti polisi kifo cha binti wa Magufuli..ðŸ˜ðŸ˜. By the way msidhani binti yake alikufa kwa kupigwa na babake, hapana its worse than that.. Binti alijiua kwa kunywa dawa..Sababu ya mtoto kujiua ndo mnaweza kupiga ukunga ðŸ˜ðŸ˜.Ingekuwa mtu mwingine angepewa kifungo cha maisha.
Magufuli should be in jail....