F VIDEO: BAKWATA Watoa Tamko | Muungwana BLOG
https://c2p.cleverwebserver.com/dashboard/6a0bec4b-79ba-11ef-ad2b-06f0639468d1

VIDEO: BAKWATA Watoa Tamko

Baraza la Waislamu Tanzania BAKWATA, kupitia kwa Msemaji wa Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Khamis Mataka leo wametoa  majina ya Taasisi 15 ambazo zimekubaliwa na kupewa idhini ya kupeleka Mahujaji ambao wataenda kuhiji na pia zimeratibiwa na kupewa hisa ya kufanya safari.

Sheikh Mataka amewataka waislamu wote nchini kuzingatia taratibu zote zilizowekwa na BAKWATA ili kuepuka usumbufu ama matapeli ambao wanajitokeza kwa kipindi cha kuelekea HIJJA.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHU KUSUBSCRIBE