Ajali Mbaya ya magari matatu imetokea kwenye mteremko wa mlima IGAWILO Mkoani MBEYA.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo inasemekana kuna roli lenye kontena limeangukia gari ndogo aina ya NOAH iliyokuwa imebeba abiria na inasemekana watu 5 wamefariki Dunia.
Kwa habari zaidi tutakuletea muda sio mrefu.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo inasemekana kuna roli lenye kontena limeangukia gari ndogo aina ya NOAH iliyokuwa imebeba abiria na inasemekana watu 5 wamefariki Dunia.
Kwa habari zaidi tutakuletea muda sio mrefu.