Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imefuta dhamana ya Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mining Ester Matiko kwa kukiuka masharti ya dhamana.
Uamuzi huo umetolewa leo Novemba 23.2018 dakika chache zilizopita na Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri.