mwanafunz wa kidato cha nne shule ya wasichana feza Clare Anadra akiweka kumbukumbu ya jina lake kweny sanduku la wanafunz ambao wanafanya vizur shulen wa nyuma kushoto ni mkurugez wa shule za feza mr Ibrahim yunus na anayefata ni francis nanai mkurugez mtendaji wa mwananch communication wakiwa kwenye mahafari ya kidato cha nne yaliofanyika ukumbi wa mwalimu nyerere Dar es salaam
|