Waziri wa zamani Brigedia Mstaafu Hassan Ngwilizi, amefariki dunia leo asubuhi katika Hospitali ya Jeshi Lugalo jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu, Katibu wa NEC – Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey PolePole ametangaza.
Marehemu aliwahi kuwa Mbunge wa Mlalo, Huko Lushoto, Waziri wa TAMISEMI na Mwenyekiti wa Kamati moja ya Bunge. Endeelea kuwa karibu na
Muungwana Blog kwa taarifa zaidi.