F Balozi wa Tanzania nchini China akutana na Makamu wa Rais wa kampuni ya LuckIn Coffee | Muungwana BLOG
https://c2p.cleverwebserver.com/dashboard/6a0bec4b-79ba-11ef-ad2b-06f0639468d1

Balozi wa Tanzania nchini China akutana na Makamu wa Rais wa kampuni ya LuckIn Coffee


Balozi wa Tanzania-China Mbelwa Kairuki amekutana na Makamu wa Rais wa kampuni ya LuckIn Coffee ya China Bi.Tina Liu.Kampuni hiyo yenye mtandao wa migahawa 2370 ya kahawa katika miji 28 nchini China imeelezea nia ya kununua kahawa kutoka Tanzania na korosho (snacks).