F Picha: Waziri Mkuu apokea Treni ya mizigo na kuzindua safari za mizigo | Muungwana BLOG
https://c2p.cleverwebserver.com/dashboard/6a0bec4b-79ba-11ef-ad2b-06f0639468d1

Picha: Waziri Mkuu apokea Treni ya mizigo na kuzindua safari za mizigo


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo amepokea Treni ya mizigo na kuzindua safari za Treni za mizigo katika reli ya Kaskazini.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akipokea treni ya mizigo, iliyowasili tokea Tanga, kwenye uzinduzi wa treni hiyo katika reli ya Kaskazini Julai 20.2019