F Picha: Kikosi cha Simba chajifua mkoani Mwanza | Muungwana BLOG
https://c2p.cleverwebserver.com/dashboard/6a0bec4b-79ba-11ef-ad2b-06f0639468d1

Picha: Kikosi cha Simba chajifua mkoani Mwanza


Kikosi cha Simba leo jioni kimefanya mazoezi mepesi kwenye Uwanja wa CCM Kirumba. Kesho asubuhi kitaondoka Mwanza kwenda Musoma ili kufanya mazoezi ya mwisho kabla ya kuwakabili Biashara United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ambao utapigwa Jumapili Septemba 29, 2019.