F VIDEO: Tazama magoli ya Yanga na Polisi Tanzania (3-3), "Molinga is back" | Muungwana BLOG
https://c2p.cleverwebserver.com/dashboard/6a0bec4b-79ba-11ef-ad2b-06f0639468d1

VIDEO: Tazama magoli ya Yanga na Polisi Tanzania (3-3), "Molinga is back"


Klabu ya soka ya Yanga imetoka sare ya kufungana magoli 3-3 na Polisi Tanzania katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara. Katika mchezo huo David Molinga amefunga magoli mawili kwa Yanga huku Ditram Nchimbi akifunga Hatrick kwa upande wa Polisi.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE