F J.R DECOR WAUZAJI WA FURNITURE NA SANITARYWARE TUPO DODOMA NA MOROGORO | Muungwana BLOG
https://c2p.cleverwebserver.com/dashboard/6a0bec4b-79ba-11ef-ad2b-06f0639468d1

J.R DECOR WAUZAJI WA FURNITURE NA SANITARYWARE TUPO DODOMA NA MOROGORO

 J.R DECOR ni Wauzaji wa Bidhaa Mbali Mbali zikiwemo Samani za nyumbani kama Sofa, Vitanda, Makabati, Meza za chakula, Mazulia n.k

SAMANI ZA OFISINI Samani za ofisini kama Meza za ofisi, Viti vya ofisi, Makabati n.k

VIFAA VYA UJENZI. Vifaa vya ujenzi kwa upande wa Vyoo, Masinki, Shower, Mabomba, Bodi za Gypsum, Mikanda ya Gypsum, Unga wa Gypsum n.k

Pia tunatengeneza Madirisha na Milango ya Aluminium kwa bei nafuu kabisa. Bidhaa zetu ni za kiwango cha juu na tunatoa Guarantee.

Maduka yetu yapo Morogoro na Dodoma 

Kwa Morogoro tupo mtaa wa Old Dar es salaam road mkabala na F.F.U jengo la J.R House


kwa Dodoma tupo mtaa wa School Avenue road mkabala na uwanja wa Jamuhuri

Wasiliana nasi kwa simu namba 0743111116 / 0714679773 Instagram @jrdecortz