F Katibu Mkuu wa NATO kufanya ziara yake ya Uturuki jumatatu | Muungwana BLOG
https://c2p.cleverwebserver.com/dashboard/6a0bec4b-79ba-11ef-ad2b-06f0639468d1

Katibu Mkuu wa NATO kufanya ziara yake ya Uturuki jumatatu


Kulingana na taarifa iliyotolewa na NATO, iliaarifiwa kwamba Stoltenberg atatekeleza ziara yake nchini Uturuki na Ugiriki wiki ijayo.

Katika ziara hiyo, Stoltenberg atafanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki  Mevlüt ÇavuÅŸoÄŸlu pamoja na maafisa wengine wa ngazi za juu siku ya Jumatatu katika mji wakati wa Ankara.

Baadaye Stoltenberg ataelekea Athens ambapo siku ya Jumanne, atafanya mkutano na Waziri mkuu wa Ugiriki  Kiryakos Miçotakis,  Waziri wa Mambo ya Nje Nikos Dendias na Waziri wa Ulinzi Nikos Panagiotopoulos .

Hapo jana, NATO ilitangaza ujio wa utaratibu wa mchakato unaondelea kwa muda mrefu kati ya Uturuki na Ugiriki kuhusiana na suala la utenganishaji wa Mediterania ya Mashariki.

Post a Comment

0 Comments