F VIDEO: Waziri Ummy agawa majiko ya gesi 600 kwa wajasiliamali Tanga | Muungwana BLOG
https://c2p.cleverwebserver.com/dashboard/6a0bec4b-79ba-11ef-ad2b-06f0639468d1

VIDEO: Waziri Ummy agawa majiko ya gesi 600 kwa wajasiliamali Tanga


Waziri wa Afya (Mbunge) Mhe Ummy  Mwalimu amepokea majiko ya gesi 600 kutoka kwa kampuni ya Oryx kwa ajili ya kuwagawia wajasiliamali ili kuunga mkono juhudi za Rais Samia ya kukabiliana na janga la ukataji miti.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE 

Post a Comment

0 Comments