Kampuni ya simu za mkono ya Airtel Tanzania imetangaza kurejea kwa huduma za intaneti baada ya kutokea kwa hitilafu kwenye mkongo wa mawasiliano wa baraharini (submarine sea cables) mnamo siku ya Jumapili Mei 12 2024 na kusababisha kukosekana kwa huduma za intaneti nchini.
Taarifa iliyotolewa leo Jijini Dar es Salaam na Meneja Mawasiliano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando amethibitisha kuwa huduma za intaneti zimerejea kikamilifu na hivyo wateja wanaweza kuendelea kufurahia kutumia huduma za intaneti kama kawaida.
“Naomba kuchukua fursa hii kuwatangazia wateja wote wa Airtel kuwa huduma zetu za intaneti zimerejea baada ya hitilafu iliyouathiri mkongo wa mawasiliano baraharini (submarine sea cable) mnamo siku ya Jumapili 12 Mei 2024 na kusababisha kukosekana kwa huduma za intaneti nchini.
Airtel Sisi kama watoa huduma za mawasiliano tunatambua usumbufu ambao wateja wetu wamepata na naomba kuchukua fursa hii kuwaomba radhi kwa tatizo na kuahidi ya kwamba Airtel Tanzania tutaendelea kuhakikisha kutoa huduma zilizo bora na nafuu kwa wateja wetu”. alisema Mmbando.
Mmbando aliongeza kuwa Airtel Tanzania inaendelea kuwafidia wateja wake vifurushi ambavyo hawakuweza kuvitumia kutoka na tatizo hilo.
Airtel Tanzania announces fully restoration of internet services and bundle refund.
Airtel
Tanzania has announced restoration of internet services after services
disruption occurred on 12 May 2024, a problem which caused
unavailability of internet countrywide.
A Press Release issued
today in Dar es Salaam, by Airtel Tanzania Public Relations Manager
Jackson Mmbando has said that internet services have fully been restored
and therefore customers can now continue using services as normal.
“Airtel
Tanzania takes this opportunity to announce to our esteemed customers
that internet services have now fully been restored after disruption
occurred on Sunday May 12, 2024, from 11:00hrs due to failure of
submarine optic fiber cables which caused unavailability of internet
services country wide.
Mmbando added’ ‘Airtel Tanzania is
refunding customers who were unable to use their bundles during that
period and he promise to continue ensuring a reliable connectivity as
usual.
The disruption had been caused by faults in multiple
undersea cables, which are vital for connecting systems and companies
that support internet and telecommunications infrastructure in the
region. The outage affected countries in East Africa, leaving
approximately 80 million users without internet.
0 Comments