F CCM Tanga kuanza kutumia kadi za elektroniki kuachaana na kadi za gamba | Muungwana BLOG
https://c2p.cleverwebserver.com/dashboard/6a0bec4b-79ba-11ef-ad2b-06f0639468d1

CCM Tanga kuanza kutumia kadi za elektroniki kuachaana na kadi za gamba


REBECA DUWE TANGA  

Chama cha mapinduzi CCM Mkoa wa Tanga imeanza rasmi mchakato wa kuwasajili wanachama wake  kwa mfumo wa kadi za ii electronic kwa wanachama wa Chama hicho ambapo kila mwanachama atapata kadi kwenye tawi lake alilojiandikisha .

Akizungumza  na mwandishi wetu ofisini kwake leo Katibu mwenezi w Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Tanga Samweli Kiyondo Mgazija alisema kuwa Chama cha Chama mapinduzi  CCM ndio Chama pekee kinachokwenda na wakati ambapo Rais Samia suluh Hassan  ametoa  siku kumi wanacham kunindikisha ili kuweza kupata kadi za electronic kuanzia leo mpakà 23April 2025.

Aidha  mgazija alielezea kuwa wale wote ambao taarifa zao tayari zimekamilika wafike kata
ofisi CCM  za Matawi ambapo kata zote wataalamu wa tehema tayari kwa kuendesha zoezi hilo.

Sambamba na hayo alitoa wito kw wakereketwa na wapenzi wa Chama hicho ambao bado hawajajiasajili kwa mfumo huo wajiandikishe ndani y siku hizi amavmbazo huduma zinatolewa ilia wapate kwa urahisi kwani kila moja ana jukumu.

Aliongeza kusema kuwa kadi hizo za kiektronik inasifa ya kubebeka kirahisi kma kadi ya banki,tofauti na kadi za gamba,ni kadi ya matumizi ambapo unaweza uweka mpaka milioni 10 lakini pia unawez kununua kifurushi cha Azam na vingine.

Post a Comment

0 Comments