F Hassan Mwakinyo na Anthony Mayala kuzichapa leo | Muungwana BLOG
https://c2p.cleverwebserver.com/dashboard/6a0bec4b-79ba-11ef-ad2b-06f0639468d1

Hassan Mwakinyo na Anthony Mayala kuzichapa leo


 Leo kuanzia Saa 2:00 usiku jiji litasimama kwa muda, mtanzania Hassan Mwakinyo  akienda kuvunja rekodi kwenye pambano la Rumble in Dar.

Pambano hilo litapigwa kwenye ukumbi wa Next Door Arena, Masaki likitanguliwa na mapambano mengine sita.

 Hassan Mwakinyo bondia namba moja nchini mbali na kuwania ubingwa wa Afrika (ABU), endapo atamchapa Anthony Mayala ataweka rekodi ya kuwa bondia wa kwanza kumchapa Muangola huyo.


Post a Comment

0 Comments